Tuesday, January 26, 2010

Ukishindwa umejitakia mwenyewe


Mazingira mazuri kama haya si rahisi kushindwa mtihani. Vitabu vipo vya kutosha. Viti ni vizuri, meza kubwa na safi na watoto wenyewe ni wasafi. Kuinua kiwango cha elimu ni lazima serikali kuboresha shule zetu za msingi na sekondari zile tunazoita za kata ili wanaosoma shule binafsi watamani kusoma shule za kata. Hii inawezekana.

No comments: