Tuesday, January 12, 2010

IVORY COAST MAJINA YATAWAPONZA

Ndiyo, IVORY COAST walikuja Tanzania na kucheza mechi za kirafiki mbili za kupasha moto kabla ya mshindano ya soka ya CAN maarufu hapa Afrika kwa kupambana na Taifa Stars na AMAVUBI timu ya Taifa ya RWANDA mechi zote mbili walishinda. Lakini hawakuonyesha soka la uhakika huku wengi wakisema kuwa wameficha makucha yao. Lakini jana wametoka suluhu na timu ya Burkina Fasso isiyo na wachezaji wenye majina. Kwa hiyo Ivory Coast wajihadhari, huko Angola hawaogopi majina oh Drogoba au Kone. Pigeni soka la uhakika tuwaone basi. Au huko nako mnategea? Mpaka lini?

No comments: