Friday, January 8, 2010

Nani atawika Angola?

Hebu waangalie nyota hawa wa Afrika katika kabumbu (Essien, Etoo na Drogba) wote watakuwa Angola katika mashindano ya kutafuta Bingwa wa Afrika 2010. Kati ya hawa nani atawika? Au ninani atakayejichomoza kung'ara katika mashindano haya. Jibu tutalipata baada ya mashindano.

No comments: