Friday, January 15, 2010

Mafisadi endelezeni nchi basi

Tatizo si ufisadi, tatizo ni jinsi mafisadi wanavyotumia fedha hizo walizozipata kwa namna ambayo haisaidii nchi hii. "Hebu fikiria Banzi fisadi pamoja na kuchota fedha nyingi za nchi hii anaziweka kwenye benki ya nchi za nje, sasa hii inasaidia nini hata mwenyewe sidhani kama zinamsaidia sana.' Anahoji msomi kutoka moja ya vyuo vikuu hapa nchini ambaye amewahi kusoma darasa moja na Banzi wa Moro. Kuna mantiki hapo eh! Mwenzangu unayesoma blog hii unasemaje?

No comments: