Tuesday, January 5, 2010

Ng'ombe nyumbani


Ufugaji wa ng'ombe nyumbani (zizini) ni jia bora ya kufuga sehemu zenye uhaba wa ardhi kama vile mkoa wa Kilimanjaro. Ng'ombe hupata huduma za malisho wakiwa ndani ya banda wakati wote. Lakini ufugaji huu huwahusisha zaidi wanawake na watoto kutumia muda mwingi kutafuta chakula cha wanyama, kusafisha banda pamoja na kuwalisha. Ufugaji huu kwa kweli huchosha licha ya kuwa faida zake ni nyingi.

No comments: