Thursday, January 28, 2010

Mizengo Pinda a.k.a Mtoto wa mkulima


Waziri Mkuu wa Serikali ya Muungano wa Tanzania Mhe. Mizengo Pinda tangu ashike madaraka hayo amekuwa mstari wa mbele kuinua uzalishaji wa kilimo. Ameshatembelea wakulima wengi shambani na taasisi nyingi zinazojishughulisha na kilimo. Nafikiri anaendelea kujifunza mengi kuhusu kinachosibu uzalishaji wa kilimo hapa nchini. Pinda sema kinachotakiwa kufanyika na kilimo kipewe kipaumbele katika kutengewa raslimali power tillers pekee haitoshi. (Picha kwa hisani ya gazeti la Mwananchi tarehe 28/1/2010)

No comments: