Friday, January 29, 2010

350 km kwa saa ndiyo garimoshi la china litakavyosafiri ifikapo mwaka 2011

Ah. Wakati mwendo wa gari moshi la kwetu ni km 35 kwa saa. China wataingiza garimoshi litakalosafiri kwa kasi ya kilometa 350 kwa saa. Hiyo ndiyo jeuri ya teknolojia. Huku sisi tukidharau Mchina bwana vitu vyake feki kabisa. Umeisoma hii?

No comments: