Tuesday, January 26, 2010

Huyu Mtikilla vipi?


Kila tunapokaribia uchguzi mkuu, Mchungaji Mtikilla haachi vituko na kashfa ambazo mara nyingi humfikisha mahakamani na kutumia muda mwingi mahubusu. Mimi simwelewi vizuri Mtikilla ana nini au ana lengo lipi?

No comments: