Monday, January 4, 2010

KOROGWE 2010

Baada ya kusherehekea mwaka mpya 2010 nikiwa. Tarehe 2/1/2010 nilisafiri kwenda Korogwe. Kule tulienda kushuhudia jinsi mkwe wetu anavyoagwa (Send off Party). Korogwe ni mji unaokuwa kwa haraka sana na mpango miji wake umetulia kwa kweli. Mitaa imepimwa vizuri na barabara zinajulikana. Kwa kupita barabara ya kwenda Arusha huwezi kutambua kuwa Korogwe ni nzuri na imejengeka. Hivi ilikuwaje Dar ikashindwa kupangika hadi kumetokea msongamano wa ajabu ambao sasa tunashindwa kuurekebisha?

No comments: