Thursday, February 11, 2010

Wakati Wamisri wakiomba dua muone huyo mchezaji wa Ivory Coast!


Hivi kweli huu ni ustaarabu au imani za kishirikina. Bila aibu mchezaji huyu wa Ivory Coast anakojoa uwanjani. Lakini mpiga picha makini aliinyaka hii na sasa imevuja kwenye mtandao. Pamoja na hayo yote Ivory Coast walibamizwa na Misri

No comments: