Friday, February 26, 2010

Ushindi ni mazoezi


Asikudanganye mtu, ushindi ni mazoezi tu. Angalia jinsi mlinda mlango wa Twiga Queens (Timu ya Taifa ya Soka ya Wanawake)- Zena Juma anavyojifua kwenye mazoezi. Hii inampa stamina, uzoefu pamoja na mbinu. Hivyo vyote vikikamilika ushindi ni dhahiri. MUNGU IBARIKI TWIGA QUEENS

No comments: