Wednesday, February 3, 2010

Wakitayarishwa mapema wataweza


Iwapo mikakati itawekwa na kutekelezwa ya kuwaandaa vijana wetu katika mchezo wa soka wanaweza kutuletea ushindi siku za usoni. Pichani vijana wakiwa kwenye mazoezi ya viungo (Picha kwa hisani ya gazeti la mwananchi)

No comments: