Thursday, February 11, 2010

Bye Bye Richmond


Ndivyo linavyoandika gazeti la Mwananchi la tarehe 11 Februari 2020. Bunge limefunga rasmi mjadala wa mkataba tata wa Kampuni ya Richmond Development (LLC) na Tanesco na kuaacha Serikali iendelee kutekeleza maazimio yake huku wabunge wawili Christopher Ole Sendeka na Dk. Wilibrod Slaa wakipambana hadi mwisho. Hivi ni kweli. Bye Bye Richmond tungoje mengine. Hii ndiyo Bongoland!

No comments: