Friday, February 19, 2010

Watoto na UKIMWI waambiwe kila kitu?


Ugonjwa wa UKIMWI ni balaa katika dunia. Bara la Afrika limepigika zaidi kwa ukimwi hakuna kaya isiyoathirika kwa UKIMWI.

Mikakati mingi imepangwa kupambana na ugonjwa huo ambao hadi sasa hauna tiba. Baya zaidi ni kwa watoto ambao ndiyo wanaojenga taifa la baadaye. Kuna swali je, WATOTO waambiwe kila kitu kuhusu UKIMWI? Ukizingatia uchumi, utamaduni na mazingira ya mwafrika? Tuelimishane.

No comments: