Friday, February 26, 2010

Kuna nini UWT



UWT kuna fukuto kali. Vijembe na mambo kadha wa kadha. Wengine hatufahamu chochote. Lakini jinsi nilivyomsikia Makamu wa Mwenyekiti wa chama hicho Bi Asha Makame kwa kipitia TBC 1 jana jioni na leo hii kusoma kwenye gazeti la Mwananchi lenye kichwa cha Habari "Mwilima ajiandaa kujibu mapigo UWT." Gazeti hilo lilimnukuu Mwilima akisema "Mmhh! Napata utata kulijibu hilo, lakini nisema tu kwamba kwa mujibu wa katiba ya UWT, kikao cha Kamati ya Utendaji ndicho kinachoweza kuniondoa," alisema Mwilima.

No comments: