Saturday, January 24, 2009

Asante Pinda kwa ufahamu wako wa kilio cha Sekta ya Kilimo

Jana katika gazeti la 'The Guardian" nimefurahishwa kusoma kuwa Waziri Mkuu Mizengo Pinda amesema kuwa serikali itaongeza bajeti kwa sekta ya kilimo (mazao,mifugo na samaki) kwani sekta hizo ni muhimili wa uchumi wa nchi na ni kichocheo cha maendeleo. Nasubiri kuona ahadi hiyo ikitekelezwa kwani mambo hayaendi sawa kibajeti kwenye sekta hizo.

No comments: