Monday, January 5, 2009

Kuingia choo cha wanawake!

Wasomaji wapenzi wa blog hii leo nawaleteeni msemo mpya wa kiswahili ulioingia hapa jijini Dar kwa siku za karibuni hasa kwa vijana. Utasikia ah fulani ameingia choo cha wanawake!

Maana yake nini hasa? udadisi wa blog hii umegundua kuwa kuingia choo cha wanawake ni kuingia mkenge, au kushika pasipo kusudiwa. Hii haijali anayeambiwa ni mwanamke au mwanaume.

No comments: