Thursday, January 22, 2009

MTANDAO ULIKUWA NA MATATIZO

Takribani siku 7 mtandao wetu hapa ofisini ulikuwa na matatizo, aidha nilitingwa na majukumu ya kiofisi hivyo kushishindwa kabisa kuning'iniza angalau post 1. Leo naona mambo ni shwari tuanze.

No comments: