Monday, January 26, 2009

KILWA ROAD UPDATE 3!

Ingekuwaje kama madaraja ya mto Kizinga yasingekamilika kabla ya mvua hizi. Nafikiri hali ingekuwa ngumu zaidi kwa wakazi wanaotumia barabara ya Kilwa hasa wakazi wa Mbagala na vitongoji vyake.

Lakini hali ni shwari kabisa, leo hii blog ilipita asubhi sana pale Kizinga bila utata wowote. Ujenzi wa barabara ya Kilwa unaendelea vizuri hata nakshi nakshi zimeanza kuwekwa kwenye vituo vya mabasi. Keepleft cha njia panda ya Mtoni Kijichi ndo kinachongwa. Mambo saaafi Mbagala!

No comments: