Monday, January 26, 2009

Hivi Manji ana ubavu wa kumzuia Ngassa?

Mchezaji wa kutumaini wa Taifa Stars na Dar Young Africans -watoto wa Jangwani Mrisho Ngassa amefanikiwa kupata timu ya kucheza mpira wa kulipwa huko Norway.Lakini inasemekana kuwa Bw.Manji amemzuia kwa sababu anazozifahamu yeye mwenyewe. Ndo maana nauliza hivi Manji ana ubavu wa kumzuia Ngasa asiondoke? Tusubiri matokeo.

No comments: