Tuesday, July 20, 2010

Ajabu Yanga hawamjui mwenyekiti wao


Amini usiamini watani zetu YANGA hawamfahamu vizuri mwenyekiti wao aliyechaguliwa siku ya Jumapili. Uchunguzi nilioufanya hapa ofisini kwa washabiki wakuu wa wana Jangwani akiwemo Bw.Salehe Mkwawa umedhihirisha wazi kuwa mtu huyo hafahamiki na wengi. Hii ni dhahiri kuwa aliyechaguliwa si mtu wa mpira! Kwa kukumegea tu msomaji wa blog hii kuwa mwenyekiti huyo anajulikana kwa jina la LLYOD NCHUNGA na makamu wake ni Davis Mosha!

No comments: