Saturday, July 10, 2010

Pweza huyu vipi? Eti anatabiri Hispania bingwa 2010


Pweza mwenye umri wa miaka miwili anatabiri Hispania itashinda dhidi ya Uholanzi kwenye fainali za kombe la dunia 2010 zitakazochezwa Afrika ya Kusini hapo kesho tusubiri tuone. Pweza huyu alishatabiri kushindwa kwa England, Argentina na Ujerumani pia.

No comments: