Tuesday, July 20, 2010

Mnada wa Pugu unavujisha mapato


Leo hii nimesomam habari muhimu sana kwenye gazeti la serikali linalotolewa kila siku la DailyNews. Habari hiyo inatufahamisha kuwa Serikali hakosa mapato mengi kwenye soko la mnada wa mifugo wa Pugu. Utafiti ufanywe ili tuweze kufahamu mnada unaweza kuiingizia kipato cha kiasi gani serikali?

No comments: