Thursday, July 29, 2010

Kikwete Vs Slaa


UCHAGUZI ujao unaanza kuwa na mvuto hasa pale CHADEMA walipotumbukiza kete yao SLAA kuwa mgombea wa kiti cha Urais. Pamoja na ukweli kuwa si rahisi kwa Kikwete kuangushwa na Slaa lakini nionavyo mpambano utakuwa wa kukata nashoka hasa mikoa ya Kaskazini mwa Tanzania na Nyanda za Juu Kusini. TUSUBIRI MATOKEO.

No comments: