Saturday, July 10, 2010

Dr. Shein kidedea!


Kama ilivyotegemewa na wengi, Dk. Ali Mohamed Shein ameibuka kidedea baada ya kupitishwa kuwa mgombea urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika uchaguzi utakaofanyika mwezi Oktoba mwaka huu 2010.

No comments: