Thursday, July 22, 2010

Namimi nilikula chakula cha bwana


Ndiyo na mimi Banzi wa Moro nilikula chakula cha Bwana huku Bestman wangu Mr.Nestor Kobelo(nyuma yangu) akitafakari. Hiyo ilikuwa tarehe 2/8/1997. Bado naendelea kupata chakula cha kiroho au kwa kiluguru 'tonge ja mitondo'

No comments: