Thursday, July 22, 2010

Padri Antipas Abdon Nzegesela


Tulipata Neno la Bwana kutoka kwa Padri Antipas Abdon Nzegesela (mdogo wangu). Huyu ndiye aliyetuozesha. Hebu fikiria mtu anazaliwa unamuona anakua hadi kuwa Padri baadaye anakufungisha NDOA ni wangapi waliojariwa kupata bahati hii?

No comments: