Wednesday, July 21, 2010

Zifahamu njia za mabus ya wanafunzi ya CRDB


Hizi ndizo njia za mabasi ya wanafunzi ya CRDB katika jiji la Dar Es Salaam.

Posta- Mbagala: Posta, Mnazi Mmoja, Shule ya Uhuru, Mvinjeni, Mgulani,Mtoni na Mbagala Mwisho.

Mwenge-Buguruni: Mwenge,Ubungo Darajani, External, Tabata Relini na Buguruni

Mwenge-Bunju:Mwenge, Makongo, Bondeni, Tangibovu,Makonde, Afrikana, Mbuyuni,Tegeta,Boko na Bunju

Posta-Gongolamboto:Posta,Mnazi Mmoja, Buguruni, Tazara,Vingunguti, Ukonga na Gongolamboto

Posta-Kimara-Mbezi Luis: Posta, Mnazi Mmoja, Baridi, Fire, Magomeni, Mwembechai, Manzese,Shekilango-Mkoani Ubungo, Kimara-Baruti,Kimara-Suka na Mbezi Luisi

Utaratibu mzuri lakini mabus ni machache sana. Leo asubuhi nimeshuhudia pale Mbagala jinsi wanafunzi walivyojazana kwenye bus moja kuna haja ya kuongeza mabus zaidi na kuyatunza yaliyopo.

No comments: