Friday, July 30, 2010

Kijana katika utafiti


Mvulana huyu kutoka kanda ya kaskazini anashirikiana na watafiti katika kutafiti uzalishaji wan nyanya. Angalia nyanya zilivyostawi vizuri. Kwa kupitia utafiti atafahamu ni aina gani za nyanya astawishe katika mazingira yake. Ni kwa vipi atapambana na changamoto za magonjwa na wadudu washambuliao mimea ili aweze kuzalisha kwa faida.

No comments: