Saturday, July 10, 2010

Mwana FA bado upoupo kwanza?


Siyo siri mtu wangu Mwana FA tangu utoe kibao chako "Bado nipo nipo kwanza" umetulia kabisa sijakusikia au ndo unataka kuja na moja kuliko? Achia vitu mwanangu tuna kumis sana na filosofia zako.

No comments: