Friday, July 30, 2010

Si mpunga ni ngano


Watu wengi wa pwani hawaufahamu mmea wa ngano ingawa ni hodari sana wa kula chapati mikate na maandazi. Nchi yetu imebahatika kuwa na sehemu zinazozalisha ngano hasa kanda ya kaskazni na Nyanda za Juu Kusini. Kituo cha Utafiti wa Kilimo cha Selian kina jukumu la kutafiti uzalishaji wa ngano. Pichani ngano aina ya JUHUDI kwenye mashamba ya majaribio.

No comments: