Wednesday, July 21, 2010

Kwa vituo vya LUKU-TANESCO nakupa shavu

Vituo vya kununua vocha za LUKU kwa matumizi ya umeme vimezidi kuongezeka jijini Dar Es Salaam na kuanza kupunguza misururu ya watu katika vituo hivyo. Vituo vimesambazwa sehemu nyingi jijini na hivyo kupunguza kero kwa watumiaji wa huduma hiyo ya umeme. Kwa utaratibu huu kwanini nisiwape shavu TANESCO?

No comments: