Tuesday, July 20, 2010

Sekta ya Kilimo


Unapozungumzia sekta ya kilimo ni pamoja na mifugo,nyuki,samaki,mazao ya mimea. Kwa hakika hii ndiyo sekta inayoweza kumkwamua mtanzania kutoka kwenye uvungu wa umaskini. Hali ya wakulima ikiwa nzuri ule usemi wa maisha bora kwa kila Mtanzania utakuwa kweli. TUJIKITE HUKO.

No comments: