Friday, July 30, 2010

Mkurugenzi anapojishughulisha na utafiti


Ndivyo afanyavyo Kaimu Mkurugenzi wa Utafiti wa Kilimo kanda ya Kaskazini Dkt. Mbuyi Mugendi aliponaswa na blog hii bila kufahamu akiielezea timu ya kitaifa iliyotumwa kupelemba na kutathmini shughuli za utafiti katika kanda yake. Ni wangapi wanaendelea kufanya kazi za taalama zao ingawa wanajukumu pia ya kusaini hundi?

No comments: