Friday, July 30, 2010

Kilimo mseto wa mahindi na mbaazi


WATAFITI wa kilimo kanda ya Kaskazini wanaendelea na utafiti wa kilimo mseto cha mahindi na mbaazi katika mashamba ya wakulima ili wakulima wenyewe waweze kujionea faida ya kilimo hicho. Moja ya faida ni kurutubisha ardhi. Lakini pia mkulima kwa eneo hilo hilo mkulima anapata mboga na nafaka. Hapa ana uhakika wa chakula na pia kuongeza kipato kwenye familia.

No comments: