Friday, July 30, 2010

Watafiti wanapojikita na utafiti wa Mahindi


HAKUNA ubishi watanzania wengi wanakula ugali.Sehemu nyingi za nchi hii zinastawisha mahindi. Utafiti wa mahindi katika nchi hii umeanza muda mrefu na umepata mafanikio makubwa pia umekutana na changamoto nyingi. Utafiti wa mahindi hasa hufanywa na kituo cha utafiti Uyole Mbeya,Selian Arusha na Ilonga Kilosa. Hebu angalia picha ya mahindi yanayofanyiwa utafiti na watafiti kutoka Selian. Hapa lazima uvune tu.

No comments: