Thursday, July 25, 2013

Baada ya msiba maisha yanaendelea

Baada ya msiba wadogo zangu walinipitisha katika eneo la mashamba ya baba zetu na kunionyesha mipaka. Inabidi tutunze raslimali zetu kwanza kwa kuzitambua na pili kuweka mikakati ya kuzitunza na kuziendeleza.Hii ni sehemu ya mashamba yetu yaliyopo katika kijiji cha Nige, Kariakoo-Matombo, Morogoro.

No comments: