Monday, July 29, 2013

Mama mfanyabiashara sokoni Songea

Akina mama wa Tanzania wamechangamka katika ujasiriamali. Mtafiti Dr. Louis Kasuga kutoka kituo cha Utafiti Naliendele, Mtwara alinasa picha ya mwanamama huyu akiwa katika soko la mjini Songea akifanya biashara ya mazao mbalimbali.

No comments: