Tuesday, July 23, 2013

Mazishi ya mama mkubwa Fortunata Epimark

Jumatatu ya tarehe 17/6/2013 ni siku ya msiba kwa familia ya akina Banzi wakati mama mkubwa Fortunata Epimark mke wa baba yetu mkubwa Mwl. Ephrem Ephrem Mbiki alipofariki jijini Dar na kuzikwa kijijini Matombo, Morogoro. Pichani jeneza lenye mwili wa marehemu likiwa kwenye kanisa Katoliki, Parokia ya Mavurunza, Kimara Dar Es Salaam kwa Ibada ya kumuombea kabla ya kusafirisha mwili kwenda kijijini.

No comments: