Thursday, July 25, 2013

Usafi wa mazingira ndani na nje baada ya mazishi mila ya Kiluguru

Usafi wa ndani na nje ya mahali pa msiba unafanywa baada ya kuzika. Hii ni moja ya mila na desturi za Waluguru ambayo wengi hatuifahamu na pia hatuizingatii. Tulipomzika mama mkubwa Fortunata pale kijijini kwetu Nige, Kariakoo, Matombo-Morogoro nilishuhudia kinadada wakifanya shughuli hii ya usafi. Mgawawanyo wa kazi unazingatiwa hata kwenye misiba. Baba mdogo alionekana kuchoma kuku (Gender issue!)

No comments: