Thursday, July 18, 2013

Wali wa kike wa Kizaramo

Kama kuna kabila linaloendeleza utamaduni wao basi Wazaramo ni mojawapo hasa inapokuwa masuala ya unyago kwa wasichana waliovunja ungo. Mara wanapopoata mafunzo wanayostahili hufanyiwa tafrija na hapa motto anazawadiwa zawadi mbalimbali na hasa nguo. Pichani wali waliochezwa kijijini Kisemvule hivi karibuni.

No comments: