Wednesday, July 17, 2013

Utafiti wa zao la mtama na alizeti kituo cha Utafiti Ilonga

Utafiti wa alizeti na mtama umeandelea kufanywa kwa miaka mingi katika kituo cha utafiti Ilonga. Matokeo mazuri yamepatikana kama vile mbegu bora zinazozaa kwa wingi zinazovumilia ukame na magonjwa.


No comments: