Thursday, July 18, 2013

Tathmini ya pamoja ya Mpango wa Kuendeleza Sekta ya Kilimo

Wakulima, wagani na watafiti ni muhimu wakafanya kazi kwa pamoja kuanzia kupanga, kutekeleza na kutathmini shughuli. Pichani wataalamu wa kilimo wakiwa ndani ya ofisi ya Afisa kilimo wa Wilaya ya Kilosa mapema mwezi Julai, 2013.

No comments: