Thursday, July 25, 2013

Tukishazika siku inayofuata tuna choma kuku na kula

Waluguru siku moja baada ya kuzika kuna kitu kinachoitwa moto ndugu. Moja ya vitu vinavyofanyika asubuhi ni kubanika kuku kwenye moto na kisha wanandugu kugawa nyama kidogo kidogo na kuzila bila kutafuna mfupa.Tunaamini kuwa kwa kufanya hivyo tunafukuza kifo kwenye familia.

No comments: