Tuesday, July 23, 2013

Mapadri wapya Kanisa Katoliki nchini Tanzania

Zamani ilikuwa si rahisi kuwapata mapadre kama ilivyokuwa vigumu kuwapata wasomi ngazi ya PhD, Madaktari wa binadamu pamoja na wahandisi. Hivi sasa jimbo linaweza kutoa mapadri saba kwa wakati mmoja kama ilivyotokea hivi karibuni kwa jimbo kuu la Dar Es Salaam. (Picha kwa hisani ya gazeti la Mwananchi)

No comments: