Tuesday, July 23, 2013

Kisima cha 'mdundiko' kijijini Kisemvule

Kisima hiki kiko katika kijiji cha Kisemvule wilayani Mkuranga. Kimetengenezwa na mwanakijiji anayejulikana kwa jina la Kite.Maji ya kisima hiki hayana chumvi, ni baridi hakika yana ladha nzuri.Hivi majuzi nilipata kumtembelea Bw. Kite na kujaribu kusukuma maji kutoka kisimani.

No comments: