Tuesday, July 23, 2013

Nakagua bustani ya vijana Kisemvule

Mwanzo mgumu. Miche ya matikitimaji imeanza kuota kwenye bustani ya vijana iliyopo kijijini Kisemvule.Nitawasaidia vijana hawa ili wasonge mbele na kutimiza ndoto zao. Vijana wengine tuige mfano wa vijana hawa watatu.

No comments: