Sunday, December 13, 2009

HONGERA JKT

Kama kuna jeshi lililoonyesha ukakamavu wa hali ya juu na kushangiliwa na maelfu ya wananchi waliokuwepo uwanja wa UHURU tarehe 9 Desemba wakati wa kusherehekea miaka 48 ya UHURU ni JKT. Walipendeza kwa sare, ukakamavu na kuwajibika pamoja na kufurahisha. HONGERA SANA JKT

No comments: