Thursday, December 31, 2009

KAWAWA AMETUACHA


Simba wa Vita na mkongwe wa Siasa katika Historia ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Rashidi Mfaume Kawawa amefariki leo asubuhi. MUNGU ailaze mahali pema peponi roho ya Mzee wetu, Kiongozi wetu asiye na makuu Marehemu Kawawa.

No comments: