Friday, December 18, 2009

Ni kweli mazingira ya dhiki hayatakuza elimu


Wakati nakaribia kutoka ofisini siku ya Ijumaa. Kwa haraka nilipata kusoma kichwa cha habari kisemacho "Mazingira ya dhiki hayatakuza elimu" makala iliyoandikwa kwenye gazeti la Rai 17-23 2009. Kichwa cha habari hii kimenivutia kusoma makala hii iliyoandikwa na Masumbuko Nesphory. Serikali haitaki lawama na walimu nao hawataki kulaumiwa. "Tuache siasa tuache porojo katika elimu. Tusilaumiane tuwajibike." Anamaliza mwandishi wa makala hii. Mwandishi ameandika mengi kwa pande zote mbili. Ni kweli mazingira ya sasa ya kutoa elimu kwa shule za umma hayaridhishi. Tafuta gazeti hili na soma makala hiyo. Picha kushoto kwa hisani ya gazeti la Rai

No comments: